MATAJIRI (points)

MATAJIRI (points)

MINBOOKLET

MINBOOKLET

SHUKRANI

SHUKRANI

Wednesday, March 9, 2016

Ni mshiriki kundi la 10, Anaitwa Jackline kutoka Sjmc-Udsm
Ameweza kupata Kura nyingi zaidi, Hivyo yeye ni mshindi Wa
Kundi hili la 10.
Washiriki wote Wa kundi hili wameingia HATUA ya pili ya Kura za thamania, ambapo mwenye Kura nyingi ataibuka na ushindi wa Tsh 1,000,000/= .... Jumla ya washiriki wote ni 50 watakaokuwemo kwenye ushindani wa Kura za thamani.

Wednesday, March 2, 2016

Daniel ni ni mshiriki Wa kundi la 9, hili ni kundi la mwisho kwa
Upande wa wavulana MSIMU HUU WA TATU
Kundi hili la 9 wote wamefanikiwa kuingia hatua ya pili ya kura za thamani, atakayepata Kura nyingi ataibuka na ushindi Wa kiasi cha Tsh 1,000,000/=
Jumla ya makundi; YAPO KUMI (10)
Jumla ya washiriki; WAPO HAMSINI (50)

Tuesday, February 23, 2016

Kundi la nane lilikuwa na washiriki watano, ambapo wanne ni wa Sjmc-Udsm pia mmoja ni wa Coss-Udsm. Ritha kutoka Sjmc-Udsm, ndiye mshindi wa kundi hili kwa kura 201. Lakini wote wameingia hatua ya pili ya ushiriki wa kurĂ  za thamani ambapo mshindi mwenye kura nyingi hushinda kiasi cha Shilingi Milioni Moja (Tsh 1,000,000/=).

Wednesday, February 17, 2016

Ephrem alidhihirisha kukubalika na walio wengi kwa kupigiwa Kura nyingi zaidi. Kundi lake lilinadiwa kama kundi la Ronaldo kutokana na VIJANA wote kuwa na vipaji vya picha za mnato kwa uwezo wa hali ya juu. Alipata Kura 234 huku mpinzani wake wa karibu akimkabili kwa kura 122.
Wote katika kundi hili wameingia hatua ya pili ya kinyang'anyiro cha Shilingi 1,000,000/=.

Wednesday, February 10, 2016

Mary ni MSHINDI kwa kura 182, ambapo namba yake ya utambulisho katika kupigiwa Kura ilikuwa No. 3,  Ni mshiriki wa kundi la sita na ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu (SJMC-UDSM).
Kundi lake limefanikiwa pia kuingia HATUA ya pili ya Kura za thamani ambapo mshindi kati ya washiriki 50, ataibuka na ushindi wa kiasi cha Tsh 1,000,000/=.

Tuesday, February 2, 2016

Ni kijana kutoka Sjmc-Udsm, Ameweza kuibuka
mshindi kwa kura nyingi baada ya kupigiwa na wadau wengi
Kuwa ana uwezo kwenye kipaji cha MATANGAZO YATUMIAYO
PICHA ZA MNATO. Kundi lake kwa ujumla linaingia hatua ya pili ya kura zenye thamani ili kumpata mshindi atakayemiliki kitita cha Shilingi Milioni Moja (1,000,000/=) za Kitanzania. Hatua hii ya pili itawashirikisha washiriki 50 ambao wanatokana na makundi kumi (10) ya MSIMU WA TATU.

Wednesday, January 27, 2016

Kwa jina anaitwa AIKA, mshiriki wa kundi la nne
Ambapo baada ya kuhesabiwa Kura zake ilithibitishwa 
kuwa ameongoza kwa kura nyingi, HATUA YA PILI
YA KURA ZA THAMANI INAKUJA, AMBAPO MSHINDI 
WA KURA NYINGI HUSHINDA KIASI CHA TSH, MILIONI
MOJA (1,000,000/=). washiriki wote wa kundi la nne 
wataunganishwa wote katika hatua hii ya pili ya kura
za thamani.

Thursday, January 21, 2016

Huyu ndiye STIVE, (Mshiriki KUTOKA Ardhi University)
Ameshiriki kundi namba 3, na kushinda Kura 351
Je rekodi yake ya upataji wa kura nyingi itafikiwa na yeyote?
TUKUMBUKE MAKUNDI YAPO KUMI (10), YANAYOKAMILISHA IDADI YA WASHIRIKI 50 WA MSIMU HUU WA TATU. MARA BAADA YA UPIGAJI KURA KWA MAKUNDI YOTE, WASHIRIKI WOTE WATAINGIA HATUA YA PILI YA KURA ZA THAMANI NA MWENYE KURA NYINGI ATASHINDA KIASI CHA SHILINGI 1,000,000/= (MILIONI MOJA-TSHs).

Tuesday, January 12, 2016

Felister ni mshiriki wa kundi la pili la wasichana ambaye ni mshindi aliyepata Kura nyingi zaidi dhidi ya wenzake wanne, ni kutoka Sjmc-Udsm.  TUKUMBUKE KUWA HUU NI MSIMU WA TATU UTAKAOSHIRIKISHA VIJANA 50 KUTOKA VYUONI NA SEHEMU NYINGINEZO KATIKA TASNIA YA SANAA ZA PICHA ZENYE THAMANI KWA MATANGAZO YA BIASHARA KWA MALIPO.

Wednesday, December 30, 2015

Rosena, toka MZUMBE University, ambaye ni nambari 4 katika kundi lake ameibuka mshindi kwa kuwa na Kura 
Nyingi za kupigiwa.