MATAJIRI (points)

MATAJIRI (points)

MINBOOKLET

MINBOOKLET

SHUKRANI

SHUKRANI

Wednesday, February 10, 2016

Mary ni MSHINDI kwa kura 182, ambapo namba yake ya utambulisho katika kupigiwa Kura ilikuwa No. 3,  Ni mshiriki wa kundi la sita na ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu (SJMC-UDSM).
Kundi lake limefanikiwa pia kuingia HATUA ya pili ya Kura za thamani ambapo mshindi kati ya washiriki 50, ataibuka na ushindi wa kiasi cha Tsh 1,000,000/=.

No comments:

Post a Comment