Ephrem alidhihirisha kukubalika na walio wengi kwa kupigiwa Kura nyingi zaidi. Kundi lake lilinadiwa kama kundi la Ronaldo kutokana na VIJANA wote kuwa na vipaji vya picha za mnato kwa uwezo wa hali ya juu. Alipata Kura 234 huku mpinzani wake wa karibu akimkabili kwa kura 122.
Wote katika kundi hili wameingia hatua ya pili ya kinyang'anyiro cha Shilingi 1,000,000/=.
No comments:
Post a Comment