Kundi la nane lilikuwa na washiriki watano, ambapo wanne ni wa Sjmc-Udsm pia mmoja ni wa Coss-Udsm. Ritha kutoka Sjmc-Udsm, ndiye mshindi wa kundi hili kwa kura 201. Lakini wote wameingia hatua ya pili ya ushiriki wa kurĂ za thamani ambapo mshindi mwenye kura nyingi hushinda kiasi cha Shilingi Milioni Moja (Tsh 1,000,000/=).

No comments:
Post a Comment