Daniel ni ni mshiriki Wa kundi la 9, hili ni kundi la mwisho kwa
Upande wa wavulana MSIMU HUU WA TATU
Kundi hili la 9 wote wamefanikiwa kuingia hatua ya pili ya kura za thamani, atakayepata Kura nyingi ataibuka na ushindi Wa kiasi cha Tsh 1,000,000/=
Jumla ya makundi; YAPO KUMI (10)
Jumla ya washiriki; WAPO HAMSINI (50)

No comments:
Post a Comment