1G5 ni mshiriki wa MWITIKO BINAFSI wa kundi la kwanza kati ya makundi 10 yaliyochaguliwa kupigiwa kura, ambapo kila kundi lilikuwa na wahusika watano watano. Kwa sasa muunganiko wa makundi hayo 10 umesababisha washiriki wawe 50, Hivyo basi 1G5 anaweza kushinda milioni moja endapo kura zake zitakuwa nyingi kupita wenzake.
MATAJIRI (points)
MINBOOKLET
SHUKRANI
Wednesday, October 21, 2015
Sunday, October 18, 2015
8G4 amebahatika kupata kura ya bahati, ambapo alikuwa miongoni mwa kundi la 8 (Boys Group).
Kiasi cha shilingi Milioni moja kinaweza kumdondokea endapo atakusanya kura nyingi. Ikumbukwe tarehe 10/11/2015, kura za hatua ya PILI zitaanza kupigwa zikihusisha watu mbali mbali.
Zoezi litakalodumu hadi 30/11/2015 atakapotangazwa mshindi.
3G5 alishinda kwa kura za kishindo kwenye kundi lake, Pia ni MSHINDI WA UFOTOJENIKI kwa mwaka 2015/16 kwa nafasi ya pili, Sjmc-UDSM. Kwa namna ya kushangaza ndiye pekee aliyepata wapiga kura wengi zaidi toka mataifa mbali mbali nje ya mipaka ya TANZANIA. Na sasa anaingia hatua ya kundi la WASHIRIKI hamsini (50) katika kinyang'anyiro cha kitita cha
Tsh 1,000,0000/=. Atafaulu endapo atakusanya kura nyingi zaidi kupita wote huku akiwa na mtaji wa kura ya bahati ya
Tar. 17/10/2015.
Friday, October 16, 2015
Thursday, October 15, 2015
4G4 ni mmoja kati ya washiriki
wa Mwitiko Binafsi ambaye alikuwa na uwezo pekee katika Sanaa ya picha za mnato, huku baadhi ya washiriki ya wenzake na waliompigia kura kwenye kundi lake (4th GROUP) wakimfananisha na msanii mashuhuri wa Nigeria Yemi Alade. Kwa sasa tusubiri ifikapo 30/11/2015 kama uwingi wa kura za bahati na zile zitakazopigwa baada ya kufungua chuo kama zitamuweka "on top" na kusababisha anyakue kitita cha Tsh 1,000,000/=.
Wednesday, October 14, 2015
4G3 Alikuwa mshindi wa kundi namba nne, baada ya kushinda alizawadiwa kiasi cha shilingi 25,000/= na sasa kuna 1,000,000/= mbele ya WASHIRIKI hamsini (50) wa MWITIKO BINAFSI.
Hivyo kwa sasa anakutana na wenzake 9 walioshinda kwenye makundi yao, pia washiriki 40 ambao wote walifuzu kwenye vipaji vya picha.
Tuesday, October 13, 2015
Ni bahati kwake kwa Mara nyingine 3G4 anapata kura
Nyingine ya kuwania umilionea, (13/10/2015). Ambapo yeye anatokea kundi la tatu ambalo lilikuwa na rekodi ya kufuatiliwa na watu wengi zaidi wa hapa nchini pia nchi za nje, Na pia kundi lake limefanikiwa kuwa na fotojeniki No 2 katika kipindi hiki cha 2015/16 kutoka Sjmc.
Monday, October 12, 2015
Sunday, October 11, 2015
Wednesday, September 30, 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)










