4G3 Alikuwa mshindi wa kundi namba nne, baada ya kushinda alizawadiwa kiasi cha shilingi 25,000/= na sasa kuna 1,000,000/= mbele ya WASHIRIKI hamsini (50) wa MWITIKO BINAFSI.
Hivyo kwa sasa anakutana na wenzake 9 walioshinda kwenye makundi yao, pia washiriki 40 ambao wote walifuzu kwenye vipaji vya picha.
No comments:
Post a Comment