8G4 amebahatika kupata kura ya bahati, ambapo alikuwa miongoni mwa kundi la 8 (Boys Group).
Kiasi cha shilingi Milioni moja kinaweza kumdondokea endapo atakusanya kura nyingi. Ikumbukwe tarehe 10/11/2015, kura za hatua ya PILI zitaanza kupigwa zikihusisha watu mbali mbali.
Zoezi litakalodumu hadi 30/11/2015 atakapotangazwa mshindi.
No comments:
Post a Comment