2G2 anaongoza kwa kura 7 zenye thamani, zina thamani kwa kuwa kura moja thamani yake ni Tsh 2000/=
2G2 ndiye aliyeongoza katika kundi lake ambalo lilikuwa la KWANZA kwa wavulana kushiriki katika kupigiwa kura ili waweze kuingia hatua hii kubwa ya kura za thamani.
Cha kushangaza katika kuhesabu kura zake ilibainika kuwa alimzidi mpinzani wake kwa kura 1 tu, hivyo kura zake zilihesabiwa mara saba ili kujiridhisha. Ifahamike kwamba washiriki katika kundi lake walikuwa watano (5) na mpinzani wake mwenye ushawishi kwa watu kutokana na sanaa yake ya muziki wa kizazi kipya alikuwa 2G1
Cha kushangaza katika kuhesabu kura zake ilibainika kuwa alimzidi mpinzani wake kwa kura 1 tu, hivyo kura zake zilihesabiwa mara saba ili kujiridhisha. Ifahamike kwamba washiriki katika kundi lake walikuwa watano (5) na mpinzani wake mwenye ushawishi kwa watu kutokana na sanaa yake ya muziki wa kizazi kipya alikuwa 2G1
No comments:
Post a Comment