6G2, 5G4 na 9G2 walipata kura ya bahati kama ilivyooneshwa tarehe walizobahatika kupata kura. Ambapo 6G2 wa kundi la sita alipata kura yake tarehe 08/11/2015, Pia siku iliyofuata 5G4 alipata kura Tar 09/11/'15 na aliyefunga ukurasa wa kura za bahati ndiye 9G2 ambaye alipata kura yake ya bahati Tar 10/11/'15. Baada ya kura hizi za bahati, zinafuata kura za awamu ya PILI za kupigiwa/kujipigia na kiasi cha Tsh Milioni Moja kitatolewa kwa atakayeshinda ifikapo Tar 30/11/2015.
No comments:
Post a Comment