MATAJIRI (points)

MATAJIRI (points)

MINBOOKLET

MINBOOKLET

SHUKRANI

SHUKRANI

Wednesday, November 11, 2015

6G2, 5G4 na 9G2 walipata kura ya bahati kama ilivyooneshwa tarehe walizobahatika kupata kura. Ambapo 6G2 wa kundi la sita alipata kura yake tarehe 08/11/2015, Pia siku iliyofuata 5G4 alipata kura Tar 09/11/'15 na aliyefunga ukurasa wa kura za bahati ndiye 9G2 ambaye alipata kura yake ya bahati Tar 10/11/'15. Baada ya kura hizi za bahati, zinafuata kura za awamu ya PILI za kupigiwa/kujipigia na kiasi cha Tsh Milioni Moja kitatolewa kwa atakayeshinda ifikapo Tar 30/11/2015.

No comments:

Post a Comment