5G1 ni Mshindi wa Photogenic No. 1, SJMC-UDSM, 2015-2016
Pia alishinda kundi lake la wasichana watano kwa kura za kupigiwa na watu mbali mbali.
Hatua ya sasa ni ya kura za thamani ambapo 5G1
Anashikilia nafasi ya PILI kuelekea USHINDI wa Tsh Milioni Moja.
No comments:
Post a Comment