MATAJIRI (points)

MINBOOKLET

SHUKRANI

Wednesday, August 31, 2016
Sunday, August 14, 2016
Ni Charles Gerald kutoka Mount Meru mwenye Kura nyingi kundi la 10, hivyo ndiye mshindi kwa Kura 572, huku aliyemfuatia nafasi ya pili ni kutoka UDOM akiwa amepata kura 541. Tukumbuke kuwa jumla yapo makundi 10 msimu huu wa 4, na hili ndilo kundi la 10 la mwisho.
Wote kundi hili wameingia hatua ya pili ya Kura za thamani
Thursday, August 11, 2016
Wednesday, August 10, 2016
Friday, July 22, 2016
Glory ni mshindi wa kundi la 7 kutoka Chuo cha Ushirika kilichopo Moshi (MOCU), idadi ya Kura zake ni 418 huku mshiriki kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akishika nafasi ya pili katika kundi.
Washiriki wote wamefanikiwa kuingia hatua ya pili ya Kura za thamani ambapo mshindi hupata Tsh 1,000,000/= (Milioni moja).
Thursday, July 21, 2016
JOHNAS CAMILLIUS ni kijana aliyemaliza kidato cha sita kutoka MINAKI HIGH SCHOOL, alishiriki Mwitiko Binafsi kupitia Chuo Kikuu cha Dar es salaam na kufanikiwa kuibuka mshindi wa kundi, huku nafasi ya pili ikishikwa na WINFRIED MGAYA a.k.a KING BOZ (The musician Boy) kutoka MUHAS
Kundi zima la 6 wameweza kuingia hatua ya pili ya Kura za thamani.
Kundi zima la 6 wameweza kuingia hatua ya pili ya Kura za thamani.
Wednesday, July 13, 2016
Ni kijana John kutoka St. Joseph, amekuwa ndiye mshindi kwa kupigiwa kura nyingi kutoka kwa watu mbalimbali toka pande za nchi ya TANZANIA pia baadhi kutoka nchi za Ng'ambo
Kwa ujumla WASHIRIKI wote kutoka kundi lake wameingia hatua ya pili ya Kura za thamani zitakazoanza Mara baada ya makundi yote 10 kumalizika.
Subscribe to:
Posts (Atom)