Ni Charles Gerald kutoka Mount Meru mwenye Kura nyingi kundi la 10, hivyo ndiye mshindi kwa Kura 572, huku aliyemfuatia nafasi ya pili ni kutoka UDOM akiwa amepata kura 541. Tukumbuke kuwa jumla yapo makundi 10 msimu huu wa 4, na hili ndilo kundi la 10 la mwisho.
Wote kundi hili wameingia hatua ya pili ya Kura za thamani
No comments:
Post a Comment