Ni kijana John kutoka St. Joseph, amekuwa ndiye mshindi kwa kupigiwa kura nyingi kutoka kwa watu mbalimbali toka pande za nchi ya TANZANIA pia baadhi kutoka nchi za Ng'ambo
Kwa ujumla WASHIRIKI wote kutoka kundi lake wameingia hatua ya pili ya Kura za thamani zitakazoanza Mara baada ya makundi yote 10 kumalizika.
No comments:
Post a Comment