Huyu ni kijana aliyeshiriki kundi la pili MSIMU WA 4, kutoka UDSM, namba yake ya utambulisho kwenye kundi lake ilikuwa #1, ambapo aliweza kuongoza kundi lake kwa kura 194
Kundi hili la pili wote wamefanikiwa kuingia kwenye hatua ya pili ya kura za thamani, kuwania ushindi wa kiasi cha Tsh Milioni moja.
Kundi hili la pili wote wamefanikiwa kuingia kwenye hatua ya pili ya kura za thamani, kuwania ushindi wa kiasi cha Tsh Milioni moja.
No comments:
Post a Comment