Anaitwa Vidah Msigwa ambaye ameweza kushinda kwa kura nyingi kwenye kundi lake la 1 la msimu wa 4. Amewakilisha UDSM kwa kupata Kura 651 kwenye sanaa ya picha za matangazo kwa utambulisho #4. Nafasi ya pili kwenye kundi hili imeshikiliwa na Johnia kutoka UDSM aliyeshiriki akiwa na namba 3 ya utambulisho kwenye kundi, amefanikiwa kupata jumla ya kura 438.
Hivyo washiriki wote wa kundi hili wamevuka kuingia hatua ya pili itakayoshirikisha makundi 10 yenye jumla ya WASHIRIKI 50 kuweza kupigiwa kura za thamani ili mshindi mwenye kura nyingi aibuke na kiasi cha Tsh 1,000,000/= (Milioni moja).
No comments:
Post a Comment