MATAJIRI (points)

MATAJIRI (points)

MINBOOKLET

MINBOOKLET

SHUKRANI

SHUKRANI

Tuesday, February 23, 2016

Kundi la nane lilikuwa na washiriki watano, ambapo wanne ni wa Sjmc-Udsm pia mmoja ni wa Coss-Udsm. Ritha kutoka Sjmc-Udsm, ndiye mshindi wa kundi hili kwa kura 201. Lakini wote wameingia hatua ya pili ya ushiriki wa kurĂ  za thamani ambapo mshindi mwenye kura nyingi hushinda kiasi cha Shilingi Milioni Moja (Tsh 1,000,000/=).

Wednesday, February 17, 2016

Ephrem alidhihirisha kukubalika na walio wengi kwa kupigiwa Kura nyingi zaidi. Kundi lake lilinadiwa kama kundi la Ronaldo kutokana na VIJANA wote kuwa na vipaji vya picha za mnato kwa uwezo wa hali ya juu. Alipata Kura 234 huku mpinzani wake wa karibu akimkabili kwa kura 122.
Wote katika kundi hili wameingia hatua ya pili ya kinyang'anyiro cha Shilingi 1,000,000/=.

Wednesday, February 10, 2016

Mary ni MSHINDI kwa kura 182, ambapo namba yake ya utambulisho katika kupigiwa Kura ilikuwa No. 3,  Ni mshiriki wa kundi la sita na ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu (SJMC-UDSM).
Kundi lake limefanikiwa pia kuingia HATUA ya pili ya Kura za thamani ambapo mshindi kati ya washiriki 50, ataibuka na ushindi wa kiasi cha Tsh 1,000,000/=.

Tuesday, February 2, 2016

Ni kijana kutoka Sjmc-Udsm, Ameweza kuibuka
mshindi kwa kura nyingi baada ya kupigiwa na wadau wengi
Kuwa ana uwezo kwenye kipaji cha MATANGAZO YATUMIAYO
PICHA ZA MNATO. Kundi lake kwa ujumla linaingia hatua ya pili ya kura zenye thamani ili kumpata mshindi atakayemiliki kitita cha Shilingi Milioni Moja (1,000,000/=) za Kitanzania. Hatua hii ya pili itawashirikisha washiriki 50 ambao wanatokana na makundi kumi (10) ya MSIMU WA TATU.