8G3 anatokea BOYS GROUP kundi la NANE la walioshiriki mchakato wa upigiwaji kura kutoka kwa watu mbali mbali nchini na nchi za nje. Kwa sasa ameingia katika hatua shindanivu zaidi yenye washiriki hamsini, Hivyo basi kura ya bahati aliyopata tar 31/10/2015 ni muhimu kwake kuuelekea USHINDI wa Tsh milioni moja (1,000,000/=) endapo ataibuka na kura nyingi kupita mwenzake 49.
No comments:
Post a Comment