2G3 ni mshiriki mwenye kura ya bahati tar 01/11/2015, Alishiriki katika kupigiwa kura akiwa kundi la PILI lililokuwa na wavulana watano, AMESHINDA PIA KUWA KIJANA NAMBARI MOJA KATIKA UWEZO WA NGUVU KIFASHENI (POWERFUL FASHION BOY) SJMC-UDSM, 2015/16. Kwa sasa yu katika ushindanivu wa kiasi cha Tsh Milioni Moja akiwa na washiriki mwenzake 49, Na atakayepata kura nyingi ndiye atakayekuwa mshindi.
No comments:
Post a Comment