Mariam aliyekuwa na utambulisho wa 5G1
Ndiye MSHINDI wa kiasi cha Tsh 1,000,000/=
Kilichokuwa kimetengwa kwa washiriki 50
wa MWITIKO BINAFSI huku wakiwa na safari ndefu ya kushiriki, ikiwa ni pamoja na Photo of the week, 5Group Winner na hatimaye shindano la mwisho, lililojumuisha WASHIRIKI wote 50 kutoka makundi kumi (10),
Leo 30/11/2015 tunashuhudia Mariam akifaulu kukusanya kura za thamani zilizofikia idadi ya 166 na kushinda milioni moja
Mariam pia alishinda taji la UDSM - PHITOJENIC No. 1
No comments:
Post a Comment