4G2 ni mshindani ndani ya kundi lililokuwa la wasichana, Namba 4 (The 4th GROUP) , Pia alikuwa tano bora ya wasichana waliofanya vema katika kipaji cha picha za mnato (PHOTO OF THE WEEK - SJMC) Tar. 06/11/2015 kura ya bahati imemdondokea na kumweka katika nafasi nzuri ya kuuelekea USHINDI wa kiasi cha Tsh 1,000,000/=.
No comments:
Post a Comment