MATAJIRI (points)

MATAJIRI (points)

MINBOOKLET

MINBOOKLET

SHUKRANI

SHUKRANI

Wednesday, August 31, 2016


IK5 anaongoza kwa kura 2, kwani amebahatika kupata Kura ya bahati, endapo kuanzia Leo 31/08/2016 hadi tar 31/10/2016 hatajitokeza yeyote katika washiriki 49 >>>KUPIGA/KUPIGIWA KURA, basi IK5 atashinda 1,000,000/=,

Sunday, August 14, 2016

Ni Charles Gerald kutoka Mount Meru mwenye Kura nyingi kundi la 10, hivyo ndiye mshindi kwa Kura 572, huku aliyemfuatia nafasi ya pili ni kutoka UDOM akiwa amepata kura 541. Tukumbuke kuwa jumla yapo makundi 10 msimu huu wa 4, na hili ndilo kundi la 10 la mwisho.
Wote kundi hili wameingia hatua ya pili ya Kura za thamani

Thursday, August 11, 2016

Lilikuwa kundi la 9 ambalo Emma alishiriki na kuweza kufika hatua ya ushindi kwa kura 472, akitokea SAUT - Arusha, Mshindi wa pili katika kundi  hili ametokea UDSM, washiriki wote kundi hili wameingia hatua ya 2 ya Kura za thamani.

Wednesday, August 10, 2016

Aman Hamis ni mshindi wa kundi la 8, Msimu wa 4. Ni kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS) amepata Kura 514. 
Washiriki wote katika kundi lake wameingia hatua ya pili ya kura za thamani.