Ni mshiriki kundi la 10, Anaitwa Jackline kutoka Sjmc-Udsm
Ameweza kupata Kura nyingi zaidi, Hivyo yeye ni mshindi Wa
Kundi hili la 10.
Washiriki wote Wa kundi hili wameingia HATUA ya pili ya Kura za thamania, ambapo mwenye Kura nyingi ataibuka na ushindi wa Tsh 1,000,000/= .... Jumla ya washiriki wote ni 50 watakaokuwemo kwenye ushindani wa Kura za thamani.