MATAJIRI (points)

MATAJIRI (points)

MINBOOKLET

MINBOOKLET

SHUKRANI

SHUKRANI

Wednesday, March 9, 2016

Ni mshiriki kundi la 10, Anaitwa Jackline kutoka Sjmc-Udsm
Ameweza kupata Kura nyingi zaidi, Hivyo yeye ni mshindi Wa
Kundi hili la 10.
Washiriki wote Wa kundi hili wameingia HATUA ya pili ya Kura za thamania, ambapo mwenye Kura nyingi ataibuka na ushindi wa Tsh 1,000,000/= .... Jumla ya washiriki wote ni 50 watakaokuwemo kwenye ushindani wa Kura za thamani.

Wednesday, March 2, 2016

Daniel ni ni mshiriki Wa kundi la 9, hili ni kundi la mwisho kwa
Upande wa wavulana MSIMU HUU WA TATU
Kundi hili la 9 wote wamefanikiwa kuingia hatua ya pili ya kura za thamani, atakayepata Kura nyingi ataibuka na ushindi Wa kiasi cha Tsh 1,000,000/=
Jumla ya makundi; YAPO KUMI (10)
Jumla ya washiriki; WAPO HAMSINI (50)