Kwa jina anaitwa AIKA, mshiriki wa kundi la nne
Ambapo baada ya kuhesabiwa Kura zake ilithibitishwa
kuwa ameongoza kwa kura nyingi, HATUA YA PILI
YA KURA ZA THAMANI INAKUJA, AMBAPO MSHINDI
WA KURA NYINGI HUSHINDA KIASI CHA TSH, MILIONI
MOJA (1,000,000/=). washiriki wote wa kundi la nne
wataunganishwa wote katika hatua hii ya pili ya kura
za thamani.