5G1, Ndiye aliyepata kura nyingi, za taji la
Kuwa FOTOJENIKI NAMBARI MOJA (1)
Hivyo basi ndiye MSHINDI kwa mwaka
2015/16, anapata zawadi ya kiasi cha Tsh 30,000/=
Kisha ataingia pia hatua ya kura za WASHIRIKI wote Wa
MWITIKO BINAFSI, kujaribu tena bahati ya kujishindia
Kiasi cha Tsh 1,000,000/=